𝗡𝗘𝗫𝗧 𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛🔰 ⚽️Coastal Union 🆚 Young Africans SC 🗓 20 Agosti 2022 ⏱ 10:00 Jioni 🏟 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid 🏆 #LigiKuu #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Mkurugenzi wa WASAFI BET Diamond Platnumz, ametangaza kudhamini Mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo CUP kupitia Kampuni yake ya michezo ya kubashiri ya WASAFI BET. Ndondo Cup ni bidhaa ya Clouds M…
Wachezaji wetu 9️⃣ wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars 🇹🇿 kujiandaa na michezo ya kufuzu CHAN. ▪️ Aishi Manula ▪️ Beno Kakolanya ▪️ Shomari Kapombe ▪️ Mohamed Hussein ▪️ Kennedy Juma ▪️ Jonas M…
Clabu ya Yanga imeifunga timu ya Polisi Tanzania Ambapo Yanga Imeifunga Magoli Mawili Huku Polisi Tanzania Wakifunga Goli moja Mchezo umefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid POLISI TZ 1-2 YANG…
Kuelekea mchezo wa kesho kati ya Geita Gold na Simba SC, Geita Gold ipo kwenye sintofahamu juu ya mshambuliaji George Mpole ambaye hayupo kambini na amethibitisha kuwa ana ofa kutoka nje ya Nchi anaz…
Waamuzi watakaochezesha mchezo wa Ngao ya Jamii 2022 @yangasc @simbasctanzania @azamsports2 @ligikuu @nbc_tanzania
Afisa Muhamasishaji wa Yanga Haji Manara ambaye anatumikia adhabu ya kufungiwa miaka miwili na Shirikisho la soka nchini TFF, leo ameonekana City Lounge Hotel ambako inasemekana Simba imeweka kambi k…
TAARIFA: Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo, Agosti 9, 2022 amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo. Dkt, Hassan Abbasi kumpangia majukumu mengi…
Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Gianni Infantino ametua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kwa kuhudhuria mkutano wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) …
YANGA YASAJILI MCHEZAJI KUTOKA BRAZIL Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na klabu ya Singida Big Stars juu ya kubadilishana wachezaji Mbrazil Dario Federico Da'Silva JR na Jesus Moloko. Mbrazil …
Kutoka majukwaa ya Benjamin Mkapa Stadium #SimbaDay2022
𝗡𝗬𝗢𝗧𝗔 𝗪𝗔 𝗭𝗔𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜𝗞𝗜 𝗗𝗨𝗡𝗜𝗔 #TANZIA: Nyota wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya) amefariki usiku wa kumkia leo Agosti 8, 2022 katika H…
CAF YATOA RATIBA YA LIGI 2022 Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya timu zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu wa 2022/23 huku Tanzania 🇹🇿 ikiwakilishwa n…
Magazeti Ya Leo - Magazeti ya Michezo Karibu kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,
FULL TIME: #EPL 🏟️ London Stadium West Ham Utd 0-2 Man City ⚽⚽ Haaland (P) 36' 65' Mabingwa watetezi wa ligi kuu England, Man City wameanza vyema kampeni za kutafuta ubingwa wa tatu mfululi…
Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili Dejan Georgijevic Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili mshambuliaji wa Kimataifa wa Serbia, Dejan Georgijevic kutoka klabu ya NK Domzale. Georgijevic (28) a…
Simba Yauza Jezi Zote, Wengine wakosa "🚨 Jezi zote ambazo zililetwa awamu ya kwanza zimekwisha. Mzigo mpya utakuwepo madukani ndani ya siku mbili zijazo. #SimbaNaVunjaBei #SimbaWeek #SimbaDay …
TETESI: MAN. UNITED YAGEUKA KWA LEROY SANE Manchester United inataka kumsajili Winga wa Bayern Munich, Leroy Sane na imeanza mazungumzo na Bayern Sane ambaye amewahi kuichezea Man. City ana mkatab…
Hizi Hapa Jezi Mpya Za Simba SC 2022/23
MANARA, "NIMEINGIA KAMA MC WALA SIJIHUSISHI NA MPIRA" Aliyekuwa Msemaji wa Yanga, Haji Manara amesema ameshiriki kwenye Siku ya Mwananchi kama mshereheshaji (MC) na sio kama mhamasishaji.…
Manara na Raisi wa Yanga Kukiona Cha Moto TFF. TAARIFA: Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said na aliyek…
FULL TIME: YANGA SC 0-2 VIPERS FC 🏟️ Benjamin Mkapa YANGA SC 0-2 VIPERS FC ⚽ Karisa 1' ⚽ Anukani 65' Shughuli imemalizika katika dimba la Benjamin Mkapa, Vipers wameharibu siku ya MWANANCHI …
UKWELI KUSU JEZI ZA SIMBA KUKWAMA BANDARINI KISA UBORA Huenda Mashabiki wa Klabu ya Simba wakakosa nafasi ya kuwa na Jezi maalum wakati wa Tamasha la Simba ‘Simba Day’ siku ya Jumatatu ‘Agosti 08’…
Waarabu wamuwekea Sakho milioni 800 KLABU ya wananchi ya Raja Athletic ya Morocco iko katika hesabu kali ikipigania saini ya winga wa Simba, Pape Sakho na fedha ambayo wameitaja kupata saini hiyo…