Banda Wa Mtibwa Sugar Alamba Dodo Afrika Kusini Klabu ya Chippa United ya Afrika Kusini imetangaza kumsajili mlinzi wa kati wa kimataifa wa Tanzania Abdi Banda kutoka klabu ya ya Ligi kuu Tanzania Mtibwa Sugar. Banda anarejea Afrika Kusini ambapo… by Soka Letu Admim - July 28, 2022 Post a Comment