Showing posts with the label
Soka
Kumekua na tetesi nyingi kuhusu Simon Msuva nyota wa zamani wa Yanga, Akihusishwa na kujiunga na Klabu ya Yanga Sc. Taarifa zilizopo ni kwamba mzazi wa Msuva amesema tetesi za msuva kwenda yanga ye…
"Ushindi wa jana wa Yanga 70% percent umetokana na makosa ya KMC, na Ubora wa Yanga ni kwa 30% percent" "KMC walikuwa na poor defending, tazama Aziz Ki alikuwa hakabwi vya kutosha.. …
MSIMAMO: Mabingwa watetezi, Yanga Sc waanzia nafasi ya nne; Hii ni baada ya Kuifunga KMC Yanga SC 5 - 0 KMC TAZAMA MAGOLI YOTE HAPA
Dakika 45 za burudani zilimalizika katika dimba la Azam Complex, Chamazi, Wananchi wanaupiga mwingi mpaka unamwagika. HT: Yanga SC 1-0 KMC FC ⚽ Job 17' Ni katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanza…
Kufuatia taarifa ya Bodi ya Ligi juu ya maboresho ya kanuni ambapo imeweka marufuku kwa mchezaji kuingia mkataba binafsi wa udhamini na mshindani kibiashara wa mdhamini mkuu wa Ligi, Chama cha ACT …
Yanga Vs KMC Live 𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛𝗗𝗔𝗬🔰 🏆 NBC Premier League ⚽️ Young Africans SC Vs KMC FC 📆 23.08.2023 🏟 Azam Complex, Chamazi 🕖 1:00 Usiku Kuelekea Mechi Yetu v KMC Kwenye Head To Head Tangu …
BRUNO Gomez, ni mingoni mwa wachezaji ambao wapenzi wa Yanga walitamani kumuona kikosini mwao msimu huu, chanzo changu ndani ya Singida FG, kimefunguka kuwa pamoja na watu wa Yanga kumtamani Bru…
CHANZO makini kutoka ndani ya Simba kimendokeza kwamba Simba inatarajia kufanya usajili wa ghafla, chanzo hicho kimeeleza sababu ambazo zimewashawishi benchi la Ufundi la Simba kufanya usajili wa k…