Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Dili la Msuva Kutua Yanga Baba Yake Afunguka Ukweli

Post a Comment

 

Kumekua na tetesi nyingi kuhusu Simon Msuva nyota wa zamani wa Yanga, Akihusishwa na kujiunga na Klabu ya Yanga Sc.

Taarifa zilizopo ni kwamba mzazi wa Msuva amesema tetesi za msuva kwenda yanga yeye anazo.

Mzazi huyo ambaye ni msimamizi wa staa huyo wa zamani wa Yanga, amekiri kusikia mwanae akihusishwa na Yanga  lakini amesema anachojua kwa sasa akili ya Msuva haipo Tanzania.

Newest Older

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter