Kumekua na tetesi nyingi kuhusu Simon Msuva nyota wa zamani wa Yanga, Akihusishwa na kujiunga na Klabu ya Yanga Sc.
Taarifa zilizopo ni kwamba mzazi wa Msuva amesema tetesi za msuva kwenda yanga yeye anazo.
Mzazi huyo ambaye ni msimamizi wa staa huyo wa zamani wa Yanga, amekiri kusikia mwanae akihusishwa na Yanga lakini amesema anachojua kwa sasa akili ya Msuva haipo Tanzania.
Post a Comment
Post a Comment