Hawa Ndio Wachezaji Kutoka Timu Mbalimbali Waliochukuliwa na Taifa Stars Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kitakachoingia kambini Agosti 21 kwaajili ya mchezo wa kufuzu CHAN dhidi ya Uganda by Soka Letu Admim - August 19, 2022 Post a Comment
Soka: Wachezaji 9 Wa Simba SC 9️⃣ wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars Wachezaji wetu 9️⃣ wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars 🇹🇿 kujiandaa na michezo ya kufuzu CHAN. ▪️ Aishi Manula ▪️ Beno Kakolanya ▪️ Shomari Kapombe ▪️ Mohamed Hussein ▪️ Kennedy Juma ▪️ Jonas M… by Soka Letu Admim - August 19, 2022 Post a Comment