Showing posts with the label
Azam Fc
Al Hilal Wamewashitaki wachezaji watatu waliovunja mkataba ka klabu hiyo bila kufuata utaratibu. Wachezaji waliositisha mikataba hiyo ni Fabrice Ngoma anayehusishwa Simba, Lamin Jarjou akitajwa Azam …
Hizi Hapa Jezi Mpya Za Simba SC 2022/23
Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaz Mangungu amesema jezi za timu hiyo msimu wa 2022/23 zitazinduliwa wiki hii na zitatengezwa Ulaya badala ya Asia.
Klabu ya Azam FC imepokea kipigo cha 1-0 dhidi ya klabu ya Wadi Degla katika mchezo wa kwanza wa kirafiki baada ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya Nchini Misri. source: #KitengeSports