Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Al Hilal Yawashitaki Wachezaji Wanaotajwa Simba SC Azam FC

Post a Comment


Al Hilal Wamewashitaki wachezaji watatu waliovunja mkataba ka klabu hiyo bila kufuata utaratibu.


Wachezaji waliositisha mikataba hiyo ni Fabrice Ngoma anayehusishwa Simba, Lamin Jarjou akitajwa Azam FC pamoja na Ibrahim Imoro ambaye bado haijajulika anataka kutimkia timu gani.


Ngoma anadaiwa kusitisha mikataba wake kinyume na taratibu na hiyo kutokuwa na mwanzo mbaya ndani ya timu hiyo kutokana na kuwa na majeruhi wa mara kadhaa.


Kiungo huyo tayari yupo Dar es Salaam akisubiri barua yake ya kumalizana na Al Hilal na wakati wowote anaweza kusaini Simba tofauti na ilivyozushwa kuwa atasaini Yanga au Azam FC.


Wachezaji hao ambao wapo chini ya kocha Florent Ibenge wako njiapanda kwani hatima ya maombi yao ya kusitisha mikataba haijafika tamati.

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter