Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Mchezaji Aliyesajiliwa Simba Sc ni Mauzauza

Post a Comment

 


Ngoma Siyo kiwango cha simba sc, ni kama Sawadogo tu.


"Kwa kiwango cha Fabrice Ngoma na malengo ya Simba nadhani pale wamezika tu pesa zao kama ilivyokuwa kwa Sawadogo,nadhani Simba wangetafuta mchezaji mungine tu lakini Kwa Ngoma wametupa pesa zao" @alexngereza._


Mbali na hayo zipo tetesi ni kuwa Ngoma alikua hajamalizana na mabosi wake na hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kufunguliwa kesi katika vyombo vinavyohusika na wachezaji. 

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter