Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Bao la Kwanza la Yanga dhidi ya KMC Ilikua Faulo

Post a Comment

 



"Ushindi wa jana wa Yanga 70% percent umetokana na makosa ya KMC, na Ubora wa Yanga ni kwa 30% percent"


"KMC walikuwa na poor defending, tazama Aziz Ki alikuwa hakabwi vya kutosha.. Magoli (2) ya kwanza yametokana na mabeki kushindwa kukaba vya kutosha"


"Halafu ile kona iliozaa bao la (1) ilioanzishwa na Aziz Ki ilikuwa faulo kabla haijatokea, lile halikustahili kuwa goli"


TAZAMA HAPA


©️ Geof Lea

Mchambuzi wa Efm radio


READ MORE| SOMA ZAIDI


Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter