"Ushindi wa jana wa Yanga 70% percent umetokana na makosa ya KMC, na Ubora wa Yanga ni kwa 30% percent"
"KMC walikuwa na poor defending, tazama Aziz Ki alikuwa hakabwi vya kutosha.. Magoli (2) ya kwanza yametokana na mabeki kushindwa kukaba vya kutosha"
"Halafu ile kona iliozaa bao la (1) ilioanzishwa na Aziz Ki ilikuwa faulo kabla haijatokea, lile halikustahili kuwa goli"
©️ Geof Lea
Mchambuzi wa Efm radio
Post a Comment
Post a Comment