Dakika 45 za burudani zilimalizika katika dimba la Azam Complex, Chamazi, Wananchi wanaupiga mwingi mpaka unamwagika.
HT: Yanga SC 1-0 KMC FC
⚽ Job 17'
Ni katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara.
Dakika 90 zumemalizika Kwa Magoli 5-0
FT: Yanga SC 5 -0 KMC FC
Post a Comment
Post a Comment