Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Full Time: Yanga Sc Vs Polisi Tanzaniq



Clabu ya Yanga imeifunga timu ya Polisi Tanzania Ambapo Yanga Imeifunga Magoli Mawili Huku Polisi Tanzania Wakifunga Goli moja

 Mchezo umefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid


POLISI TZ 1-2 YANGA

⚽Kipemba 34'

⚽Mayele 42'

⚽Mwamnyeto 85'


Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara,Yanga wameanza kampeni za kuutetea ubingwa wao kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la Sheikh Amri Abeid 

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter