Clabu ya Yanga imeifunga timu ya Polisi Tanzania Ambapo Yanga Imeifunga Magoli Mawili Huku Polisi Tanzania Wakifunga Goli moja
Mchezo umefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
POLISI TZ 1-2 YANGA
⚽Kipemba 34'
⚽Mayele 42'
⚽Mwamnyeto 85'
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara,Yanga wameanza kampeni za kuutetea ubingwa wao kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika dimba la Sheikh Amri Abeid
Post a Comment
Post a Comment