Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Mpole, Sitofahamu Chezo wa Simba Sc Vs Geita Gold



Kuelekea mchezo wa kesho kati ya Geita Gold na Simba SC, Geita Gold ipo kwenye sintofahamu juu ya mshambuliaji George Mpole ambaye hayupo kambini na amethibitisha kuwa ana ofa kutoka nje ya Nchi anazishughulikia na mambo yakikaa sawa ataondoka.


Katika mahojiano na EFM SPORT HQ mfungaji huyo Bora wa NBCPL 2021/22 amethibitisha kuwa mkataba wake na Geita Gold umekwisha.


Source: #KitengeSports

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter