CAF YATOA RATIBA YA LIGI 2022
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya timu zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu wa 2022/23 huku Tanzania 🇹🇿 ikiwakilishwa na Simba, Yanga (Ligi ya Mabingwa Afrika) na timu zote zitaanzia hatua ya awali na Kombe la Shirikisho zitakuwepo Geita Gold na Azam FC ambayo ni timu pekee 🇹🇿 itaanzia hatua inayofuata.
Droo itafanyika kesho Agosti 9 jijini Cairo, Misri.
Post a Comment
Post a Comment