Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

𝗑𝗬𝗒𝗧𝗔 π—ͺ𝗔 π—­π—”π— π—”π—‘π—œ π—¦π—œπ— π—•π—” 𝗔𝗙𝗔π—₯π—œπ—žπ—œ π——π—¨π—‘π—œπ—”



 π—‘𝗬𝗒𝗧𝗔 π—ͺ𝗔 π—­π—”π— π—”π—‘π—œ π—¦π—œπ— π—•π—” 𝗔𝗙𝗔π—₯π—œπ—žπ—œ π——π—¨π—‘π—œπ—”


#TANZIA: Nyota wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya) amefariki usiku wa kumkia leo Agosti 8, 2022 katika Hospitali ya Muhimbili. Awali Iddy alilazwa katika hospitali ya Mwananyamala na juzi usiku alihamishiwa Muhimbili.


Idd ni mdogo wa nyota wa zamani, Madaraka Seleman (Mzee wa Kiminyio).


Taratibu za mazishi kitafanyika nyumbani kwao Manzese.


*Source: KitengeSports)

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter