π‘π¬π’π§π πͺπ πππ ππ‘π π¦ππ ππ ππππ₯πππ ππ¨π‘ππ
#TANZIA: Nyota wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya) amefariki usiku wa kumkia leo Agosti 8, 2022 katika Hospitali ya Muhimbili. Awali Iddy alilazwa katika hospitali ya Mwananyamala na juzi usiku alihamishiwa Muhimbili.
Idd ni mdogo wa nyota wa zamani, Madaraka Seleman (Mzee wa Kiminyio).
Taratibu za mazishi kitafanyika nyumbani kwao Manzese.
*Source: KitengeSports)
Post a Comment
Post a Comment