Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Gianni Infantino ametua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kwa kuhudhuria mkutano wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) unaofanyika Arusha.
Ameongozana mwamuzi wa kimataifa mstaafu Pierluigi Collina.
Post a Comment
Post a Comment