YANGA YASAJILI MCHEZAJI KUTOKA BRAZIL
Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na klabu ya Singida Big Stars juu ya kubadilishana wachezaji Mbrazil Dario Federico Da'Silva JR na Jesus Moloko.
Mbrazil huyo atajiunga na Yanga SC huku Moloko akienda upande wa pili
Kila kitu kinaenda sawa mezani huku dili hilo likitarajiwa kukamilika kabla ya dirisha kufungwa Agosti 31.
#KitengeSports
Post a Comment
Post a Comment