Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

YANGA YASAJILI MCHEZAJI KUTOKA BRAZIL

YANGA YASAJILI MCHEZAJI KUTOKA BRAZIL


Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na klabu ya Singida Big Stars juu ya kubadilishana wachezaji Mbrazil Dario Federico Da'Silva JR na Jesus Moloko.


Mbrazil huyo atajiunga na Yanga SC huku Moloko akienda upande wa pili 


Kila kitu kinaenda sawa mezani huku dili hilo likitarajiwa kukamilika kabla ya dirisha kufungwa Agosti 31.


#KitengeSports

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter