Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

MANARA, "NIMEINGIA KAMA MC WALA SIJIHUSISHI NA MPIRA"

 

MANARA, "NIMEINGIA KAMA MC WALA SIJIHUSISHI NA MPIRA"


Aliyekuwa Msemaji wa Yanga, Haji Manara amesema ameshiriki kwenye Siku ya Mwananchi kama mshereheshaji (MC) na sio kama mhamasishaji.

Manara amesema hayo baada ya kutambulisha kikosi cha Yanga mwaka 2022/2023 katika Uwanja wa Benjamini Mkapa.

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter