Mkurugenzi wa WASAFI BET Diamond Platnumz, ametangaza kudhamini Mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo CUP kupitia Kampuni yake ya michezo ya kubashiri ya WASAFI BET.
Ndondo Cup ni bidhaa ya Clouds Media inayosimamiwa na Mchambuzi Gwiji Shaffih Dauda. #MillardAyoSPORTS.
Post a Comment
Post a Comment