Afisa Muhamasishaji wa Yanga Haji Manara ambaye anatumikia adhabu ya kufungiwa miaka miwili na Shirikisho la soka nchini TFF, leo ameonekana City Lounge Hotel ambako inasemekana Simba imeweka kambi kwa ajili ya mechi ya kesho ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga.
Haijafahamika Manara alifuata nini hapo, lakini picha za mitandaoni leo zinamuonesha Manara akiwa eneo la mapokezi la Hotel hiyo.
Source: #KitengeSports
Post a Comment
Post a Comment