Showing posts with the label
Yanga
Yanga Wametoa Taarifa ya Shabiki aliyefariki katika ajali.
Taarifa Kutoka klabu ya Yanga Inasema, "Kuna taarifa za Ajali maeneo ya Msata kwa Mashabiki wetu waliokuwa wakisafiri kuja Arusha kutazama mechi ya kesho. Tunaendelea kufuatilia kwa karibu, t…
𝗡𝗘𝗫𝗧 𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛🔰 ⚽️Coastal Union 🆚 Young Africans SC 🗓 20 Agosti 2022 ⏱ 10:00 Jioni 🏟 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid 🏆 #LigiKuu #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Clabu ya Yanga imeifunga timu ya Polisi Tanzania Ambapo Yanga Imeifunga Magoli Mawili Huku Polisi Tanzania Wakifunga Goli moja Mchezo umefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid POLISI TZ 1-2 YANG…
YANGA YASAJILI MCHEZAJI KUTOKA BRAZIL Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na klabu ya Singida Big Stars juu ya kubadilishana wachezaji Mbrazil Dario Federico Da'Silva JR na Jesus Moloko. Mbrazil …
MANARA, "NIMEINGIA KAMA MC WALA SIJIHUSISHI NA MPIRA" Aliyekuwa Msemaji wa Yanga, Haji Manara amesema ameshiriki kwenye Siku ya Mwananchi kama mshereheshaji (MC) na sio kama mhamasishaji.…
FULL TIME: YANGA SC 0-2 VIPERS FC 🏟️ Benjamin Mkapa YANGA SC 0-2 VIPERS FC ⚽ Karisa 1' ⚽ Anukani 65' Shughuli imemalizika katika dimba la Benjamin Mkapa, Vipers wameharibu siku ya MWANANCHI …
BERNARD Morrison ameanza kazi rasmi Yanga na leo akiingia siku ya nne mazoezini, lakini kocha mmoja fundi wa mazoezi ameshtukia kitu kwa winga huyo Mghana kisha akamtengea siku 14 za kazi nzito. Ko…