Taarifa Kutoka klabu ya Yanga Inasema,
"Kuna taarifa za Ajali maeneo ya Msata kwa Mashabiki wetu waliokuwa wakisafiri kuja Arusha kutazama mechi ya kesho.
Tunaendelea kufuatilia kwa karibu, tutatoa taarifa rasmi. Kwasasa tunaomba Dua na Sala zenu🙏🏽
#TimuYaWananchi..."
Post a Comment
Post a Comment