Yanga Yanasa Saini Ya Kiungo Mwingine
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo Pacôme Zouzoua raia wa Ivory coast Kutoka Asec mimosas.
Pacôme Zouzoua amewasili leo asubuhi nchini Tanzania kutokea Ivory coast akiwa na wakala wake, Wameshakamilisha zoezi la kusaini mkataba mchana huu salamander tower.
Taarifa za ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kupewa namba 10
Post a Comment
Post a Comment