... || BREAKING
Klabu Ya Simba SC Tanzania imemtambulisha rasmi Fabrice Ngoma.
Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.
Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.
MFAHAMU FABRICE NGOMA
Amesajiliwa na klabu ya Simba akiwa huru (Free agent) baada ya mkataba wake na Al Hilal kumalizika 1 July 2023.
◉ Born — 22 January 1994 (29)
◉ Citizenship — Dr Congo 🇨🇩
◉ Height — 1,88 m (feet 6.2in)
◉ Position — Central midfielder
Mwamba ameupiga katika klabu mbalimbali kama ifuatavyo ;
◉ 22/23 — Al Hilal 🇸🇩
◉ 22/23 — Al Fahaleel SC 🇦🇪
◉ 19/20 — Raja Casablanca 🇲🇦
◉ 17/18 — AS Vita 🇨🇩
◉ 16/17 — Ifeanyi Ubah 🇳🇬
◉ 15/16 — Itancheite 🇨🇩
Stats career
👕 05 — Al Hilal 🇸🇩
👕 04 — Al Faheel SC🇦🇪
👕 88 — Raja Casablanca 🇲🇦
👕 23 — AS Vita 🇨🇩
👕 58 — Ifeanyi Ubah 🇳🇬
📝 Amejiunga na klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili.
Post a Comment
Post a Comment