Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Klabu Ya Simba SC Tanzania imemtambulisha rasmi Fabrice Ngoma.

Post a Comment

 


... || BREAKING
Klabu Ya  Simba SC Tanzania imemtambulisha rasmi Fabrice Ngoma.

Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.

Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.


MFAHAMU FABRICE NGOMA

Amesajiliwa na klabu ya Simba akiwa huru (Free agent) baada ya mkataba wake na Al Hilal kumalizika 1 July 2023.

◉ Born — 22 January 1994 (29)
◉ Citizenship — Dr Congo 🇨🇩
◉ Height — 1,88 m (feet 6.2in)
◉ Position — Central midfielder

Mwamba ameupiga katika klabu mbalimbali kama ifuatavyo ;

◉ 22/23 — Al Hilal 🇸🇩
◉ 22/23 — Al Fahaleel SC 🇦🇪
◉ 19/20 — Raja Casablanca 🇲🇦
◉ 17/18 — AS Vita 🇨🇩
◉ 16/17 — Ifeanyi Ubah 🇳🇬
◉ 15/16 — Itancheite 🇨🇩

Stats career

👕 05 — Al Hilal 🇸🇩
👕 04 — Al Faheel SC🇦🇪
👕 88 — Raja Casablanca 🇲🇦
👕 23 — AS Vita 🇨🇩
👕 58 — Ifeanyi Ubah 🇳🇬

📝 Amejiunga na klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili.



Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter