Usajili Yanga SC
◉ Klabu ya Yanga SC imemnunua winga wa AS Maniema, Maxi Mpia Nzengeli (23) kwa USD $ 165,214 (Tsh 400 Million)
◉ Amesaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga
◉ Maxi (23) anamudu vema kucheza winga zote mbili na Kiungo Mshambuliaji anakasi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpia that's why Congo wanamuita (Mbappe)
◉ Ni mchezaji wa timu ya Taifa ya DR Congo amecheza kwenye michuano ya CHAN akiwa & Zemanga Soze wa TP Mazembe.
◉ Nahodha huyo wa AS Maniema msimu wa 2020/21 alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu (MVP) katika ligi kuu ya Dr Congo.
Post a Comment
Post a Comment