Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

Klabu ya Yanga SC imemnunua winga wa AS Maniema, Maxi Mpia Nzengeli

Post a Comment

 


Usajili Yanga SC


◉ Klabu ya Yanga SC imemnunua winga wa AS Maniema, Maxi Mpia Nzengeli (23) kwa USD $ 165,214 (Tsh 400 Million)


◉ Amesaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga 


◉ Maxi  (23) anamudu vema kucheza winga zote mbili na Kiungo Mshambuliaji anakasi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpia that's why Congo wanamuita (Mbappe) 


◉ Ni mchezaji wa timu ya Taifa ya DR Congo  amecheza kwenye michuano ya CHAN akiwa & Zemanga Soze wa TP Mazembe.



◉ Nahodha huyo wa AS Maniema msimu wa 2020/21 alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu (MVP) katika ligi kuu ya Dr Congo.

Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter