LIGI KUU BARA - Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Imetoa Ratiba kwa Msimu wa 2022/23 by Soka Letu Admim - August 03, 2022 Post a Comment Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetoa ratiba kwa msimu wa 2022/23 ambapo pazia litafunguliwa rasmi agosti 13 (ngao ya hisani ) kisha Agosti 15 michezo ya ligi kuu itaanza rasmi.Swipe 👉🏿 kuona ratiba nzima. #WekaManeno Football Ratiba Ligi Kuu TFF Tanzania
Post a Comment
Post a Comment