Kikosi cha Simba kimecheza mechi ya mwisho ya kirafiki nchini Misri leo dhidi ya Al-Kholood kutoka Saudi Arabia na kushinda mabao 2-0 yakifungwa na Gadiel Michael na Augustine Okrah. Timu hiyo inatarajiwa kurejea Dar Agosti 4 kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day.
#mwanaspoti
#mwanaspotiupdates
#tunawezeshataifa
Post a Comment
Post a Comment