USAJILI: MCHEZAJI WA YANGA ASAINI MKATABA MPAKA 2024 by Soka Letu Admim - July 31, 2022 Post a Comment Mlinzi wa klabu ya Yanga SC Djuma Shabani (29) raia wa DR Congo amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Mabingwa hao wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara mpaka 2024. Football Usajili Yanga
Post a Comment
Post a Comment