Change Language

Ad Unit (Iklan) BIG

USAJILI: MCHEZAJI WA YANGA ASAINI MKATABA MPAKA 2024

 

Mlinzi wa klabu ya Yanga SC Djuma Shabani (29) raia wa DR Congo amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Mabingwa hao wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara mpaka 2024.




Related Posts

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter