mechi za simba club bingwa 2023
Ijumaa hii mnyama @simbasctanzania atakuwa dimba la Mohammed V nchini Morocco kukipiga na Wydad Casablanca katika mechi ya mkondo wa pili robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mnyama ataingia katika mchezo huu akiwa na mtaji wa goli moja alilopata mechi ya kwanza.
#cafcl
Post a Comment
Post a Comment