BONDIA MANDONGA APIGWA by Soka Letu Admim - July 30, 2022 Post a Comment BONDIA MANDONGA APIGWA KWA KOBondia Karim Mandonga amepoteza dhidi ya Shabani Kaoneka, Raundi ya 4 kwenye Uwanja wa Majimaji, SongeaBaada ya pambano Mandonga amesema: "Ni ajali kazini lakini nipo tayari kurudiana na mpinzani wangu." NDONDI news
Post a Comment
Post a Comment